Mpangilio huu ukiwashwa, basi maombi ya uthibitisho ya gnubby yatawekwa kama proksi kupitia muunganisho wa mpangishi wa mbali.
Mpangilio huu ukizimwa au usisanidiwe, maombi ya uthibitisho ya gnubby hayatawekwa kama proksi.
Registry Hive | HKEY_CURRENT_USER |
Registry Path | Software\Policies\Google\ChromeOS |
Value Name | RemoteAccessHostAllowGnubbyAuth |
Value Type | REG_DWORD |
Enabled Value | 1 |
Disabled Value | 0 |