Sasisho za data kiotomatiki kwenye Google Chrome OS zinaweza kupakuliwa kupitia HTTP badala ya HTTPS. Hii huruhusu uakibishaji wa HTTP wazi wa vipakuliwa vya HTTP.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itajaribu kupakua sasisho za data kiotomatiki kupitia HTTP. Sera ikiwekwa kuwa sivyo ama isiwekwe, HTTPS itatumika kupakua sasisho za data kiotomatiki.
Registry Hive | HKEY_LOCAL_MACHINE |
Registry Path | Software\Policies\Google\ChromeOS |
Value Name | DeviceUpdateHttpDownloadsEnabled |
Value Type | REG_DWORD |
Enabled Value | 1 |
Disabled Value | 0 |