Inawezesha ubashiri wa mtandao kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Hii haidhibiti tu uletaji awali wa DNL lakini pia unganishaji awali na uonyeshaji awali wa kurasa za wavuti za TCP na SSL. Jina la sera linarejelea uletaji awali wa DNS kwa sababu za kihistoria.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Iwapo sera hii itasalia kama haijawekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Registry Hive | HKEY_LOCAL_MACHINE or HKEY_CURRENT_USER |
Registry Path | Software\Policies\Google\Chrome\Recommended |
Value Name | DnsPrefetchingEnabled |
Value Type | REG_DWORD |
Enabled Value | 1 |
Disabled Value | 0 |