Huruhusu faili zilizo kwenye mashine kufikiwa kwa kuruhusu Google Chrome kuonyesha vidadisi vya uteuzi vya faili.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji wanaweza kufungua vidadisi vya uteuzi vya faili kama kawaida.
Ukizima mpangilio huu, wakati wowote mtumiaji anapotekeleza kitendo ambacho kinaweza kufanya kidadisi cha uteuzi faili kionyeshwe (kama kuingiza alamisho, kupakia faili, kuhifadhi viungo, n.k.) ujumbe unaonyeshwa badala yake na mtumiaji anachukuliwa kwamba amebofya Ghairi kwenye kidadisi cha uteuzi wa faili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, watumiaji wanaweza kufungua kidadisi cha uteuzi faili kama kawaida.
Registry Hive | HKEY_LOCAL_MACHINE or HKEY_CURRENT_USER |
Registry Path | Software\Policies\Google\Chrome |
Value Name | AllowFileSelectionDialogs |
Value Type | REG_DWORD |
Enabled Value | 1 |
Disabled Value | 0 |